Geeva – Train To Boom Lyrics
Taka usitake napeleka far
Mpaka abudhabi
Hii kitu
Napiga mashuti, natikisa paa
Wala usijali
Na kama ni mtoto mkali
Subiri masaa
Utacheer na leader chumbani
Shuguli ni pevu, usije na njaa
Mpaka asubuhi hatulali
Binti mdogo lakini huogopi
Tena ni mke wa mtu
Nafunga milango lakini hukomi
Tabia mbaya
Utakuja niponza nishikwe ugoni
Sitaki wahala
Tulia nyumbani ucheze na toy
Punguza mazara
Unapita mipakani kama ni ziwa la nyasa
Samaki ametembea ameishafika mombasa
Jirushe kwa makini binti usije kunasa
Kwa upande wa mangoma huwa sifanyi makosa
Ndo maana taka usitake napeleka far
Mpaka abudhabi
Hii kitu
Napiga mashuti, natikisa paa
Wala usijali
Na kama ni mtoto mkali
Subiri masaa
Utacheer na leader chumbani
Shuguli ni pevu, usije na njaa
Mpaka asubuhi hatulali
Kutega mitego mchezo unaweza
Na mi s...